Published On Apr 30, 2024
Mbowe amezungumza haya katika mkutano wa hadhara mjini Moshi mkoani Kilimanjaro katika muendelezo wa maandamano ambayo CHADEMA wamesema haya ukomo mpaka pale ambapo Serikali itasikiliza kero ambazo wananchi wanazilalamikia ikiwemo ya Katiba Mpya na upandaji wa gharama za maisha.
show more