Serikali ya Tanzania yafikia makubaliano na wafanyabiashara.
BBC News Swahili BBC News Swahili
624K subscribers
17,238 views
134

 Published On Premiered Jun 25, 2024

Hata baada ya jana serikali kutangaza kufikia makubaliano na wafanyabiashara, taarifa kutoka baadhi ya maeneo hapa Dar es Salaam na mikoa kama Mbeya na Mwanza zinasema wafanyabiashara wamendelea na mgomo.

Mwandishi wa BBC Sammy Awami alizungumza na Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Dar es Salaam Riziki Ngaga kupata undani wa madai yao.


#bbcswahili #tanzania #kariakoo

Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili    / @bbcnewsswahili  

show more

Share/Embed