Published On Sep 30, 2024
Warioba akumbushia namna alivyoamua kujiuzulu kutokana na sheria ya uhujumu uchumi.
Katika mjadala wa uzinduzi wa Kitabu cha Hayati Moringe Sokoine, Leo Septemba 30,2024, Mzee Joseph Warioba amekumbushia namna alivyobishana na Sokoine kuhusu sheria ya uhujumu uchumi mpaka yeye kufikia kuamua kujiuzulu.
Warioba wakati huo alikua Mwanasheria Mkuu wa serikali anaeleza kuwa aliona sheria hiyo inaenda kuwa na changamoto kubwa a utekelezaji hasa juu ya haki za watu.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.