Published On Apr 9, 2021
Mahitaji : chakula kwa watu 6-8
Kuku alokatwa kiasi pound 4.25 ( kilo 2)
Kjk 1 ½ cha masala ya biriani ( aroma of Zanzibar) au utakayo penda
Kikombe 1 ½ mtindi mzito usokuwa na ladha
Chumvi kiasi
Maji ya limao au ndimu kiasi vjk 1-2 cha kulia
Mafuta ya kupikia ¼ kikombe
Mchanganyiko wa kitunguu thom na tangawizi mbici kiasi vjk 2-3 vya kulia
½ kikombe majani ya kotmiri/dhania yalokatwa vipande vidogo
¼ kikombe cha majani ya nanaa yalokwatwa vipande vidogo
Vikombe 2 vya vitunguu maji vilokaangwa ( 700gms)
Mbatata za kukaanga kama utapenda
Pilipi za kijani 2-3 kama utapenda
Vikombe 6 vya mchele ( kosha roweka kiasi dakika 30)
Bizari zilokuwa nzima kama pilipili manga, bay leaf, hiliki, mdalasini
Nyuzi 6 za zafarani roweka kwenye maziwa au maji ya wardi kiasi vjk 4 vya kulia
Vitunguu vya kukaanga na majani ya dhania kwa kuwagia juu
Samli imoto Vijiko 3 vya kulia kwa kuwagia juu
THIS RECIPE IN ENGLISH • QUICK AND SIMPLE DELICIOUS HYDRABADI ...
Bizari za biriani • Bizari za biriani - kiswahili
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas https://www.youtube.com/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
https://www.instagram.com/faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-east-oud-improvisation
This is an English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world