Published On Sep 5, 2024
Mwaka 2020 nilihamia maeneo ya Mbagala, kulee wanapo paita Mbagala rangi tatu. Nilipanga ka chumba na kukaa mwenyewe kwa miezi mitatu tu kisha nikatafuta mtu wa kushea nae chumba, hapo ndipo nilipokutana na tukio lililonifanya leo hii nikusimulie kisa hiki cha kweli
show more