VITASA | Said Mkola vs Said Bwanga (TKO) | Dar Boxing Derby 29/06/2024
Azam TV Azam TV
2.65M subscribers
17,987 views
0

 Published On Jun 29, 2024

Said Mkola amechezea TKO kutoka kwa Said Bwanga katika vita kati ya Mbagala na Manzese. Ilikuwa fight moja ya maana mno, raundi zote nane zikiwa na moto mkali, huku kila upande ukionja sakafu kabla ya raundi ya nane…

Tazama pambano zima, tazama TKO ilivyotokea

Lilikuwa ni pambano la saba katika mapambano ya utangulizi Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby uliofanyika Uwanja wa Posta, Kijitonyama Dar es Salaam.
Main Card ilikuwa ni Nassib Ramadhan vs Juma Choki.

#NyieHamuogopi #DarBoxingDerby #Vitasa

show more

Share/Embed