VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su |
UTV Tanzania UTV Tanzania
66K subscribers
186,620 views
0

 Published On Oct 28, 2023

VITASA NIGHT: Bondia Mtanzania, Ibra Class ‘Mawe’… amemshinda Xiao Tao Su kutoka China kwa pointi na kuchukua mkanda wa TPBRC, Lighter Welterweight kilo 59 katika pambano la raundi kumi lililofanyika leo PTA Sabasaba, Jijini Dar es Slaam.

Hili hapa pambano kamili kuanzia raundi ya kwanza hadi ya kumi….ngumi kutoka China zilipokutana na vitasa vya kibongo, likiwa ndilo pambano kuu la Usiku wa ‘Vitasa Ulingo wa Moto’, #RingItaongea

show more

Share/Embed