Published On Sep 14, 2024
#ijuesheria #tls #mwabukusi #section4wakilitv
Rais mstaafu wa TLS Mhe. Bahame Tom Nyanduga ameelezea Tume ya Kijaji na muundo wake wa utendaji kazi wakati akifanya mahojiano maalum na Wakili TV kuhusu tume hiyo inayopendekezwa na wadau kwenye kufanya uchunguzi wa matukio ya utekaji na upoteaji watu yanayoendelea nchini.
show more