Published On Sep 20, 2024
Mwenyekiti wa Chadama Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa zamani wa Arusha Godbless Lema akizungumza kwa lengo la kutuma ujumbe kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu, kufuatia Hotuba aliyoitoa Septema 17 wakati akifunga mkutano wa Maafisa wa Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro.
đJE, NA WEWE UNA HABARI?
đWASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
đWhatsApp (+255 692 318213)
đEmail: [email protected]
đKWA HABARI ZA KILA SIKU: http://mwanahalisionline.com
show more