"NILITEGEMEA WAZIRI MKUU ATAJIUZULU, HUWEZI KUWA WAZIRI MKUU HALAFU UNAPUUZWA" MPINA BUNGENI
Wasafi Media Wasafi Media
4.79M subscribers
96,664 views
573

 Published On Apr 19, 2024

Mbunge wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina leo april 19,2024 amesimama Bungeni Jijini Dodoma kuchangia hoja kwenye bajeti ya makadirio ya mapato ya mwaka wa Fedha 2024/2025 ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ambapo Katika mchango wake amegusia suala la baadhi ya watumishi ambao hawafuati maelekezo ya Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa


   / @wasafi_media  

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113

LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻

Follow Us On:
INSTAGRAM:   / wasafitv   ||   / wasafifm  
TWITTER:   / wasafitv   ||   / wasafifm  
FACEBOOK:   / wasafitv  

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

show more

Share/Embed