Published On Feb 4, 2023
Ukame unaoshuhudiwa kaskazini mwa nchi unaongezeka kila uchao huku viongozi kutoka eneo hilo wakiitaka serikali kutangaza hali hiyo kama janga la kitaifa. Wadi 9 kati ya 10 za kaunti ya Isiolo zimeathiriwa vibaya na ukame kiasi cha kaunti hiyo kutangaza hali ya dharura
show more