Mifugo zaidi ya 70% wakufa katika kaunti ya Isiolo, mito ikikauka
Citizen TV Kenya Citizen TV Kenya
5.23M subscribers
1,787 views
17

 Published On Feb 4, 2023

Ukame unaoshuhudiwa kaskazini mwa nchi unaongezeka kila uchao huku viongozi kutoka eneo hilo wakiitaka serikali kutangaza hali hiyo kama janga la kitaifa. Wadi 9 kati ya 10 za kaunti ya Isiolo zimeathiriwa vibaya na ukame kiasi cha kaunti hiyo kutangaza hali ya dharura

show more

Share/Embed