| UKUMBI | Mikakati ya Rais Ruto baada ya maandamano ya Gen Z [Part 1]
Citizen TV Kenya Citizen TV Kenya
5.22M subscribers
22,759 views
128

 Published On Jul 8, 2024

Rais Ruto ameahidi kufanya mabadiliko serikalini
Bajeti za ofisi za mkewe rais na wa naibu rais zaondolewa
Serikali ilitangaza hatua za kupunguza matumizi
Rais amevunja mashirika 47 yenye kazi zinazofanana
Rais aahidi kupunguza washauri wake kwa 50%
Deni la taifa lilikuwa ksh.10.398t kufikia mwezi machi
Rais ameteua jopo la kutathmini madeni ya taifa
LSK yasema ni kazi ya ofisi ya mhasibu mkuu

show more

Share/Embed