Published On Sep 29, 2020
Mradi wa "Paza Sauti dhidi ya Vitendo vya Ubakaji" uliofadhiliwa na Ubalozi wa Ufaransa Tanzania. Mradi huu ulihusisha maigizo ya Jukwaani na huduma ya msaada wa kisheria maeneo ya Pugu Bombani na Chanika Mwisho - Dar es Salaam.
show more