Published On May 16, 2024
Bondia Hassan Mwakinyo amezungumzia safari yake ya ngumi huku akitaja mikasa aliyowahi kukutana nayo kwenye safari yake ya ngumi ikiwemo kuwahi kupimwa haja ndogo akihisiwa kutumia dawa za kusisimua misuli.
Mwakinyo pia amefunguka kila kitu jinsi alivyokutana na Bondia wa Marekani, Terrence Crawford na kila kitu walichozungumza na kukubaliana.
Ni kupitia kipindi cha Nje ya Ulingo akiwa na Aidan Mlimila.
show more