Published On Jul 5, 2024
Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Keir Starmer ameahidi kuijenga upya nchi hiyo baada ya chama chake cha Labour kushinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliomaliza miaka 14 ya utawala wa chama cha Conservative.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
show more