Published On Jul 5, 2021
Je unajua mapenzi au mahusiano yanaweza kufanikiwa zaidi kama wewe unaweza kujifunza mambo na kuwa mjanja zaidi? Jinsi unavyojua kidogo ndivyo unavyoinjoy kidogo. Haya hapa mambo 6 ya kukusaidia kuwa mjanja zaidi kwenye mahusiano na ndoa yako.
#DrChrisMauki#Ujanja#Mahusiano
show more