Published On Apr 24, 2017
Siku chache zilizopita Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ‘UVCCM’ kupitia kwa Kamati ya Utekelezaji ulifanya utezi wa Wakuu wa Idara mbalimbali za Makao Makuu ambapo mmoja wa walioteuliwa ni mwanamitindo Jokate Mwegelo.
Jokate ameteuliwa kuwa Kaimu Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi katika uteuzi ambao ulizua sintofahamu ndani ya Umoja huo ambapo baadhi wakihoji uhalali wa mamlaka iliyomteua.
show more