Mbunge wa zamani Alfred Keter akamatwa kwa kutekwa nyara
Citizen TV Kenya Citizen TV Kenya
5.21M subscribers
48,903 views
278

 Published On Jun 30, 2024

Mbunge wa zamani wa Nandi hills Alfred Keter alikamatwa mapema leo kwa kutekwa nyara na watu wanaoaminika kuwa maafisa wa usalama katika mtaa wa kileleshwa hapa Nairobi. Keter aliyekuwa akitoka kanisani na familia yake alisimamishwa na watu waliojifunika uso na kumtoa ndani ya gari lake. Keter ameonekana kuwa mkosoaji mkuu wa serikali, Kama Gatete Njoroge anavyoarifu

show more

Share/Embed