Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8
Mwananchi Digital Mwananchi Digital
1.02M subscribers
405,701 views
1.8K

 Published On Premiered Jun 9, 2023

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.

show more

Share/Embed