Published On Aug 24, 2021
Naibu Rais William Ruto sasa anasema katu hatajiuzulu, akimjibu Rais Uhuru Kenyatta aliyemtaka aondoke iwapo haridhiki serikalini. Ruto ambaye alikuwa akizungumza katika mazishi huko Taita Taveta amesema kwamba hakuna yeyote atakayemshurutisha kujiondoa serikalini. Na kama anavyoripoti Stephen Letoo, wandani wa rais nao sasa wanatishia kuwasilisha hoja ya kumng'atua naibu rais ofisini.
show more