HOTUBA YA RAIS SAMIA KATIKA HAFLA YA KUTUNUKIWA UDAKTARI WA HESHIMA, UTURUKI
Ikulu Tanzania Ikulu Tanzania
277K subscribers
4,965 views
0

 Published On Apr 18, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishiriki hafla ya kutunukiwa Udaktari wa Heshima kutoka Chuo Kikuu cha Ankara, Uturuki, kutambua jitihada zake za kuendeleza mageuzi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi -4R. Rais Samia yupo nchini humo kwa ziara rasmi aliyoianza tarehe 17 Aprili, 2024.

show more

Share/Embed