Published On May 11, 2024
Ndio utacheke sana ila ni uhalisia wa maisha ya familiya nyingi za kiafrika..tukitaka kuoa tunapima UKIMWI,na Mimba ila hua hatupimi akili wala hatuchunguzi familiya tunayotaka kuolea..sasa tazama kilichomkuta HEBUGWA
show more