Published On Jul 7, 2023
Uliikosa The Classic na Professor Jay ambae ni moja ya ma MC Bora na Muhimu wa Muda wote katika historia ya Bongofleva na Hiphop kwa ujumla Tanzania na Afrika ya Mashariki ?
Basi hii hapa nimekuwekea dakika 37 ambazo zitakupa mengi juu ya muziki wetu na heshima alisomika Professa jay kwenye Game yetu kwa ujumla ,HUPASWI KUZIKOSA HIZI
Usisahau ku subscribe
show more