Published On Jul 11, 2024
Kuna nini kinaendelea katika klabu ya Simba SC? Hivi majuzi Salim 'Try Again' Abdallah alijiuzulu kutoka kwa bodi ya klabu na kumuomba Mo Dewji kushika usukani. Tukio hili na mengine mengi yameibua maswali kuhusu mustakabali wa 'Wekundu wa Msimbazi'.
show more