Viongozi Uasin Gishu wanarai wakazi kudumisha amani
Citizen TV Kenya Citizen TV Kenya
5.22M subscribers
3,465 views
27

 Published On Jul 8, 2024

wabunge pamoja na wazee wa jamii ya kalenji kaunti ya uasin Gishu wanakongamana mjini Eldoret kuzungumzia umuhimu wa amani katika kaunti hiyo. Viongozi hao wanasema kuwa licha ya tofauti za kisiasa, jamii zinazoishi katika kaunti hiyo sharti zishirikiane kudumisha amani.

show more

Share/Embed