Published On Oct 8, 2024
Mwanamuziki wa Bongo Flava na Mwana soka, Foby, Amezungumza na Ndani ya 18 nakuweka wazi kuwa anaona wasanii wengi wanakimbilia kwenye timu ili kufuata upepo wa pesa, Nakuweka wazi kuwa Aziz Ki na Feisal ubora wao kwasasa umeshuka.
show more