NAPE ATINGA IKULU/AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI.
CLOUDSMEDIA CLOUDSMEDIA
1.33M subscribers
50,412 views
0

 Published On Sep 10, 2019

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amekutana na kumuomba radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kufuatia kuhusika kwake katika mazungumzo yasiyofaa dhidi ya Mhe. Rais Magufuli.

show more

Share/Embed