Baba Olivia Episode 02//She turned 13 and BEGGED her Dad for the first time Party!!Single Dad story.
Henry Mwakajumba Henry Mwakajumba
34.2K subscribers
237,619 views
0

 Published On May 27, 2024

#Gabozigamba au Author kwenye story, amekua akiamini kwamba hakuna haja ya kumfanyia mtoto sherehe ya kuzaliwa, Olivia binti yake wa pekee anamlilia baba yake akiomba kufanyiwa sherehe baada ya kutimiza miaka 13.Itikadi na imani za ki Africa zina msumbua nafsi baba yake.

#Catalina au Mama tina anajikuta matatizoni baada ya kupuuzia ushauri wa mume wake wakiwa kwenye shuguli maalumu usiku.
Karibu kuitazama tamthulia ya pekee Tanzania BABA OLIVIA.
#henrymwakajumba
..................................................................................
Gabozegamba, also known as Author in the story, has always believed there is no need to celebrate his child's birthday. However, his only daughter, Olivia, begs him for a party after turning 13. His African traditions and beliefs trouble his conscience.

#Catalina, or Mama Tina, finds herself in trouble after ignoring her husband's advice during a special event at night.

Tune in to watch the unique Tanzanian drama, BABA OLIVIA.
#henrymwakajumba

For business:
[email protected]
instagram:  / henrymwakajumba  

show more

Share/Embed