Published On Premiered Mar 20, 2023
Mwanamuziki wa Kizazi Kipya Ally Kiba ameingia kwenye Sekta ya Kilimo ambapo kwa sasa kupitia taasisi yake ya Ally kiba Foundation amekuwa miongoni mwa waliosaini Makubaliano ya Ushirikiano na Wizara ya Kilimo.
Wakati akimpokea Rais Samia leo Machi 20, 2023 Ally akawa na Haya ya Kueleza.
show more