Published On Jan 19, 2024
Jiunge na channel yetu @cbedodomacampus kupata habari mbalimbali, leo tunafanya mahojiano na DKT. JOEL RUMANYIKA, mbobezi wa Falsafa ya Sayasi ya Kimpyuta ambaye mi Mhadhiri wa CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA Kamapsi ya DODOMA, akielezea Degree yake ya uzamivu ya falsafa ya sayansi ya Kompyuta, lkn pia mfumo ambao ameubuni na kuutengeneza kwa ajli ya kutatua changamoto za wafanya Biashara wadogo maarufu wamachinga.
Je, tayari umesha Subscribe?
basi usikose kuangalia channel yetu na ku- Subscribe
@cbedodomacampus
Website:
dodoma.cbe.ac.tz
show more