MIJI NANE(8) KUJENGWA VITUO VYA UBUNIFU VYA TEHAMA (Startups): WAZIRI SILAA
Wizarahmth TV Wizarahmth TV
426 subscribers
196 views
3

 Published On Oct 3, 2024

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa, amesema kuwa Serikali ina mpango wa kujenga vituo vya ubunifu vya TEHAMA katika miji nane (8) nchini. Lengo la vituo hivi ni kuwasaidia wabunifu wachanga kufanya shughuli zao kwa urahisi na katika mazingira bora, ili kukuza ubunifu na maendeleo ya teknolojia nchini.

show more

Share/Embed