Je, Kiswahili cha Tanzania ni bora kuliko cha Kenya?
Durusu Kiswahili Durusu Kiswahili
971 subscribers
11,210 views
0

 Published On Feb 8, 2022

"Wanaodhani kwamba Kiswahili cha Tanzania ni bora kuliko cha Kenya hawajui Kiswahili ni kipi," asema Khalid Omar Mohammed Kitito ambaye ni Mratibu Mkuu wa Makumbusho ya Taifa nchini Kenya. Sikiliza Sababu zake hapa.

show more

Share/Embed