Published On May 28, 2024
Simba imehitimisha msimu huu wa #NBCPremierLeague kwa kuichapa JKT Tanzania mabao 2-0 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
Magoli ya Simba yamepatikana dakika nne za mwisho, akianza Saidi Ntibazonkiza kwa penati dakika ya 88 kisha Willy Essomba Onana dakika ya 90+2'
Tazama highlights...
show more