Ministerial Dialogue: Unlocking Tech-Startup Potentials for Economic Competitiveness in Tanzania
ICT Commission ICT Commission
455 subscribers
43 views
0

 Published On Jun 19, 2021

Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT Commission) kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi ya Tanzania (TPSF) na Chama cha Biashara Chipukizi Tanzania (TSA) wameandaa mazungumzo na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mh. Dr. Faustine Ndugulile juu ya maendeleo ya biashara chipukizi za TEHAMA.

MALENGO YA MAZUNGUMZO HAYA
~ Kupata mrejesho kutoka kwa Bodi na Malaka za udhibiti juu ya maswala yaliyo wasilishwa na waanzilishi wa biashara chipukizi za teknolojia.
~ Wawakilishi wa waanzilishi wa biashara chipukizi za teknolojia kujadili na kutoa maoni juu ya mazingira wezeshi yatakayotoa motisha na kuwezesha mafanikio ya biashara zao
~ Kuimarisha ushirikiano wa wadau wanaohusika na ustawi wa biashara chipukizi za teknolojia.
Kukubaliana juu ya hatua muhimu kushughulikia changamoto zinazokabili biashara hizi.

Kama wewe ni mtaalamu au mmiliki wa biashara yenye mauthui ya TEHAMA jisajili sasa: https://softcenter.ictc.go.tz/

show more

Share/Embed