Jinsi mikahawa ya kuolea Lamu yawavutia wageni wanaozuru kisiwa cha Amu
Citizen TV Kenya Citizen TV Kenya
5.02M subscribers
6,032 views
0

 Published On Jul 4, 2023

Mikahawa inayoolea katika bahari hindi Kisiwani Amu kaunti ya Lamu imeonekana kuwavutia wageni wanaozuru Lamu na hata kuwa maeneo ya kujivinjari kwa wakaazi. Ni maeneo ambayo kila kitu hufanyika juu ya maji, kama Rahma Rashid anavyotuarifu kutoka kaunti ya Lamu

show more

Share/Embed