Published On Aug 12, 2024
Diwani Kata ya Mtinko Mh. Bilali A Yusuph atoa shukrani za dhati kwa Mkuu Wa Mkoa Wa Singida Mh. Halima Dendego kwa kuhitimisha fainali ya Bilali Cup 2024.
ameyazungunza hayo katika sherehe ya mabingwa wa fainali hiyo Muungano FC iliyofanyika Kijiji Cha Mpambaa.
show more