Published On Jul 5, 2024
Majina ya wafanyabiashara waliokidhi vigezo vya kurejea katika soko kuu la Kariakoo baada ya kukamilika kwa ukarabati wa ujenzi wa soko hilo yanatarajiwa kuwekwa wazi Julai 10 mwaka huu.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
show more