Published On Jul 7, 2023
Yesu Anabaki kuwa Mwema kwetu na mwenye haki kwa wote waliitalo Jina Lake. Ni Mungu wa Nuru, Ni mwenye Rehema, ni Mponyaji,
Ungana na Wanakwaya hawa wa KAC katika mfululizo huu wa Matamasha unaokujia kila mwaka kutoka Kirumba SDA Church na hutabaki mkiwa.
Barikiwa.
show more