Kitale 'Niliambiwa Sharo Milionea ananiloga kwa mafuta ya uso'
Millard Ayo Millard Ayo
5.23M subscribers
509,076 views
2.5K

 Published On Jan 26, 2016

Kitale a.k.a Mkude Simba ni mwigizaji/mchekeshaji Tanzania na amechukua sifa nyingi kutokana na zile sauti zake za kuchekesha na video fupifupi zilizotambaa Whatsapp akiigiza kama Teja, kwenye hii video hapa chini kaongea jinsi imani za kishirikina zilivyotaka kumkosanisha yeye na Marehemu Sharomilionea pamoja na mengi ya maisha.

show more

Share/Embed