MPAKA HOME: FEROOZ AKIRI KUVUTA BANGI
Global TV  Online Global TV Online
4.91M subscribers
203,288 views
0

 Published On Nov 20, 2017

Subscribe    / uwazi1  

MBONGO Fleva wa kitambo, Ferooz Mrisho 'Ferooz' amekiri kujihusisha na uvutaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi, huku akiipinga vikali umivi wa kujihusisha na ubwiaji wa unga.

Katika mahojiano maaluj na Kipindi cha Mpaka Home nyumbani kwake Sinza jijini Dar baada bya kuvamiwa usiku mnene, Ferooz alisema: "Nilikonda kwan sababu ya mawazo ya kufulia na kushuka kimuziki, watun wakasema navuta madawa ya kulevya, ukweli ni kwamba....," unajua Ferooz alifunguka yapi mazito? twen'zetu...

FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER:   / globalhabari   Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe    / uwazi1   Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…    / uwazi1      / uwazi1      / uwazi1   WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER:   / globalhabari   INSTAGRAM:   / globalpubli.  .

show more

Share/Embed