Published On Apr 18, 2024
Tamaduni zetu zetu za kitanzania hua kuna maneno lazima binti/kijana anapokua amekalibia kuolewa au kuoa ni lazima kuna maneno muhimu aweze kuambiwa ili ata kama atakutana na changamoto katika ndoa yake maneno hayo yawe yana mpa ujasili ,na ushujaa wa kuendelea kuvumilia kwani wakati mgumu Hsudumu milele.
show more