TAZAMA WACHINA WANAVYOPIKA CHAKULA CHA KITAZANIA
Millard Ayo Millard Ayo
5.23M subscribers
140,560 views
1K

 Published On May 17, 2019

Aisha na Mume wake Akko ni Raia wa China ambao wamejichukulia umaarufu kwenye mji wa Guangzhou kwa uwezo wao wakuongea Lugha ya Kiswahili na Kupika vyakula vya Kitanzania na Mgahawa wao wameupa jina la Tanzania.

show more

Share/Embed