Published On Aug 27, 2020
KUPITIA kipindi cha bomba la Sanaa nchini Kenya kinachoruka kwenye TV47 Tanasha amefanya mahojiano na mtangazaji mahiri sana Tony Mwirigi na kuzungumzia mambo kadhaa ambayo yanaendelea kwa sanana kuhusu yeye na Hamisa pamoja na kuweka wazi kuwa hawazungumzi na Diamond.
show more