MTOTO Mwingine MWENYE MAAJABU ATIKISA, NAYE ANATIBU KWA MAJI na DUAA "HAUNGUZWI NA MOTO"
Global TV  Online Global TV Online
5.03M subscribers
559,997 views
2.7K

 Published On Premiered Sep 18, 2021

MTOTO Mwingine MWENYE MAAJABU ATIKISA, NAYE ANATIBU KWA MAJI na DUAA "HAUNGUZWI NA MOTO"

Mtoto mwingine, Sharifat Ilham (3) wa jijini Dar es Salaam, nae ameendelea kutikisa jiji hilo kwa karama na maajabu anayoyaonesha kwa kuponya watu wenye matatizo mbalimbali kwa kuwasomea dua na kuwapa maji maalum. Global TV imefika nyumbani kwa familia hii na kuzungumza kwa kina na wazazi wa mtoto huyu na kujionea baadhi ya maajabu yake......

Umaarufu wa Ilham umeongezeka baada ya kuibuka kwa mtoto Yunis Atione wa Wilayani Rorya, katika kijii cha Bukama, ambaye naye ameonesha maajabu kwa kuwaponya watu kwa sala na maji, akiwa na umri wa miaka miwili tu... endelea....

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST:    • GLOBAL COMEDY/MOVIES  

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: [email protected] OR [email protected]

⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    • Habari zote za michezo na Burudani Ta...  
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

show more

Share/Embed